Daily Archives: 11 Dec 2018
MABASI YA USHIRIKA: NGUZO PEKEE YA KUONDOA UNYONYAJI KATIKA SEKTA YA USAFIRI
NA ABDALLAH S. LUBALA Tarehe 5 Mei 2015, ulitokea mgomo wa madereva wa mabasi nchi nzima, ukisimamiwa na madereva wa mabasi wa jiji la Dar es Salaam, kushinikiza serikali ilinde na kusimamia maslahi ya madereva. Serikali iliingilia kati kwa kuanzisha kamati ya Waziri Mkuu itakayoshughulikia sekta ya usafirishaji. Kazi kubwa ya kamati hiyo ni kuyatafuta […]